Search results

  1. A

    Askofu Basileus Ezekiel Mabumba: Lowassa asipokuwa Rais 2015 mniue!

    hahahaaaaaaa haitok mpaka kufa
  2. A

    Huyu Daniel Naftal naemuona hapa Star tv ndie anaetaka kuwa m/kiti wa BAVICHA taifa??

    C ndio aliyesoma rungwe sec tukuyu huyoo???
  3. A

    Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Iramba aachia ngazi

    Mwigu at work tena kaingia wizara ya jikoni watamkoma
  4. A

    Tuhuma dhidi ya Mhe. Mbowe kupewa fedha: Hatua za kisheria kuchukuliwa

    Mmmh kila kukicha ngoma inarudi mbichi kabisa
  5. A

    Polisi wamkamata Lwakatare, apelekwa kwa mahojiano Makao Makuu

    hapa tufikiri kwa kina hili swala sio dogo jamani
  6. A

    Mwigulu na tuhuma dhidi ya CHADEMA

    siasa hizi yaani jamaa alishasahau hata kuongea "point" kila alipo anaiwaza CDM, nahisi hata akiwa kanisani anaiwaza 2, kweli CDM ni sooo
  7. A

    Barua ya Kumfukuza Juliana Shonza na aibu kwa BAVICHA

    nimeanza kuwa na mashaka na uwezo wa upinzani hapa Tanzania naona kama shonza na mwenyekiti wake wana uchu wa madaraka watu wa ajabu wanaouaibisha upinzani Tz na "watoto" inawezekanaje viongozi wenye nia moja kufarakana shame to u Shonza na Heche
  8. A

    PICHA: Mhe. Agrey Mwanri apima kwa 'tape' urefu wa moja ya barabara zilizojengwa Sumbawanga

    Tatizo viongozi wamelewa u ccm, huyo naibu waziri kaja kwa ziar ya kiserikali akilipwa kwa kodi zetu ona sasa hao viongozi wa chama walivoidandia shughuli hiyo yote ni kutaka sifa na kujipendekeza, shughuli ilikuwa inawahusu viongozi wa halmashauri sasa hao katibu wa ccm na huyo aliyevuliwa...
  9. A

    CCM by Mngeja kumtangaza Dr Slaa urais 2015 kukiuka demokrasia je? Kwa CUF demokrasia

    ni wazi kauli imewanyima usingizi hawa ccm wanaacha kujadili mambo yao wanakomalia mambo ya watu chama cha siasa kikifikia hatua hiyo sio vibaya tukisema "it is almost die"
  10. A

    Mwigulu Nchemba: Ninayo VIDEO ya Viongozi CHADEMA wakipanga mikakati ya mauaji nchini...

    hahahaha angekuwa dk Slaa ndo kasema hayo saa nne tu tungeshasikia nchimbi kawatuma police wake waka muhoji ila kwa kuwa niii.........., imeonekana km rap tu
  11. A

    Kitisho cha Dr. Slaa si zaidi ya Mrema - Kinana

    Siku akiingia ikulu ndo mtabaini nguvu zake,
  12. A

    CCM Rukwa wapanga kuwadhuru Yamsebo, na Heche mapema (mitego yapangwa)

    sumbawaga haijafikia katika siasa za chuki namna hyo
  13. A

    CHADEMA yashinda rufaa Sumbawanga Mjini

    Another beautiful rally
  14. A

    Mbunge wa Sumbawanga mjini akata rufaa jijini Dsm,kisheria ikoje?

    kweli Mjinga ni chakula cha msomi wanampeleka peleka 2 wasomi wanajilia ma hela..!
  15. A

    Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

    inawezekana Nape hawazi kwa ku2mia kichwa!
  16. A

    Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

    ndo matatizo ya kupigiwa kampeni na Mwigulu hayo
  17. A

    Prince Bagenda ashambulia vikali M4C ya CHADEMA

    wameshindwa kabisa kutoa hoja za kuidhoofisha CHADEMA
Back
Top Bottom