nimeanza kuwa na mashaka na uwezo wa upinzani hapa Tanzania naona kama shonza na mwenyekiti wake wana uchu wa madaraka watu wa ajabu wanaouaibisha upinzani Tz na "watoto" inawezekanaje viongozi wenye nia moja kufarakana shame to u Shonza na Heche
Tatizo viongozi wamelewa u ccm, huyo naibu waziri kaja kwa ziar ya kiserikali akilipwa kwa kodi zetu ona sasa hao viongozi wa chama walivoidandia shughuli hiyo yote ni kutaka sifa na kujipendekeza, shughuli ilikuwa inawahusu viongozi wa halmashauri sasa hao katibu wa ccm na huyo aliyevuliwa...
ni wazi kauli imewanyima usingizi hawa ccm wanaacha kujadili mambo yao wanakomalia mambo ya watu chama cha siasa kikifikia hatua hiyo sio vibaya tukisema "it is almost die"
hahahaha angekuwa dk Slaa ndo kasema hayo saa nne tu tungeshasikia nchimbi kawatuma police wake waka muhoji ila kwa kuwa niii.........., imeonekana km rap tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.