Minimum kwa miaka 10 ijayo ili tfike kwenye uchumi tunaotaka bas tanzania lazima tuwe na umeme si chini ya megawatts 18,000
hivyo kwa kuanza kama kwa mwaka tukiwa na uwezo wa kuzalisha megawatts 4,000 bas tutafika
lakini sio kwa pesa za ndani kama anavyotaka mfalme
Na kama kawaida JF ni kuliko Google
Mods hebu rejesheni huu uzi jukwaa la siasa.
Tuanze ku connect the dots
Tido Mhando na Ubinafsishaji wa TBC kwa StarTimes
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.