Ukusema CUF wanataka kumfungulia mashitaka Msajiri Na Lipumba itabidi uweke wazi una maanisha CUF ipi?
Maana CUF halali kisheria Ni ile inayoongozwa Na Prof. Lipumba!
Kama Ni hao cuf waasi basi hata mashitaka hayo hayana mashiko, yatatupiliwa mbali tu!!
Angalia mkuu mbumbumbu asiwe wewe mwenyewe!!
Pia rekebisha baadhi ya maneno kwenye uzi wako!!!
Alivyopokelewa sio alivyopekelewa!
Kutokana Na sio Katakana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.