Unaweza kuwa juha bila kujijua kama wewe juha kwa sababu ya uwezo wako mdogo wa kufikiri hebu jipe muda mdogo kufikiri kama wakurugenzi ndio wamepigwa stop nani ana mamlaka la kuchagua watu watakaosimamia uchaguzi kama kubadilisha sheria bungeni bunge limemilikiwa na nani? Inawezekana baada...
Nyerere unadhani maalim Seif ni kiongozi hodari na anaependwa? Sio hivyo kabisa kuna mambo mawili mkubwa kabisa nyerere wewe huyajui au kama unayajua hutaki kuyasema
1. Wapemba wamebeba hulka ya utwana na ndio kundi kubwa linalombeba maalim seif!!! Nini utwana? Siku zote wapemba hujinasibisha na...
Wakati Rais anamchingia Ruge milioni 50 akiwa mgongwa Lisu na chadema walimchangia kiasi gani? Wanafik wakubwa eti maneno kuntu jinga wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni jambo dogo sana kaka sheria inaweza kutungwa na isitumike ikafanyiwa marekebisho. Zipo sheria nyingi tu zinatungwa ukizipeleka kwenye utekelezaji zinakataa zinafanyiwa marekebisho hata kabla ya kutumika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.