Duh asee... Ipo siku atajutia maneno yake na kile alichokomaanisha. Wanakosea sana kutumia matusi katika majukwa ya kisiasa kwani Hakuna alie wahifanikiwa kwa kutukana Au kukashifu.
Sasa mtu mwenye cheo kikubwa Cha nchi unahaja gani yakufanya decision za kuwatwanga unao waongoza? Mi nilijua Kateuwa watu competent kumbe ni responce ya kuwatwanga baadhi ya watu. I think it's high time to do the right thing and not act as a respond to the opposition. Kwa watu ambao hatuna...
Mahindi mabichi ya lipa lakini kwa kutumia drip illigation ni Kama nguvu kubwa inatumika hivyo ushauri wangu Kama unaweza kunywesha ni vizuri zaidi na bado utakua umelima kisasa na hiyo drip system ukaitafutia zao ambalo lita ku conducive mfano nyanya, hoho, tikiti, vitunguu swaumu, au hata ginger.
Naibu spika alikua na fulsa pana ya kujijenga kisiasa kwa Kwakua yeye ametokea kwenye uteuzi badala yake kaamua kuwa one sided. She was supposed to play smart and earn credit both sides from her perfomance but ndo hivyo kashindwa kuwa mediator.
Which ground do you stand to throw stones to Lowasa? POLEPOLE
Polepole jibu haya tuone Usafi wako kama unavojinasibu twambie kuhusu mradi wa Kituo cha vijana uliokuwa wa dola laki sita chini ya TYC kwa ushirikiano na shirika toka Denmark ukifadhiliwa na DANIDA kwanini mkataba ulisitishwa...
Iringa Msigwa anatoboa asubuhi Kabisa, Mwakalebela Hana uwezo wakusimama na Msigwa. Alipata jina kipindi ile alikua na vichenchi alivyopiga kwenye Mpira. Saivi anachoweza kishinda kwenye grocery yake akilewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.