Jamaa mmoja mkewe amefariki,wakati watu wamebeba maiti wanakwenda kuzika,Mumewe alionekana mwenye furaha na kucheka,watu wakamuuliza kwanini huna huzuni ambapo aliefariki ni mkeo?,Mume akawajibu akiwa na furaha kwamba ni leo tu ndio anajuwa mkewe anakwenda wapi!!! kwasababu kila siku anatoka...
Huyo sasa ameshakuwa ni kiongozi wa "mafia"
na sio mfanya biashara muungwana,ingefaa serikali ya
Tanzania kuchukua hatua kali kwa adui huyo wa taifa na
kutaifisha mali yake yote na kupokonywa uraia wa Tanzania
halafu asafirishwe kama hatahukumiwa.
Bila shaka madawa mengi japo sio yote huwa yana side effect,ingefaa mnapotujulisha kuhusu uzuri wa madawa vilevile mutujulishe side effect zake kwa watu wenye jambo fulani au wanawake waja wazito au watoto.
Check this Link
http://t.co/vAytdYG9
{WE ARE SHARING WHAT WAS SHARED WITH US}
To our dear "beloved" Lebanese Government,
We are RYV, short for "Raise Your Voice", and we are simply a group of people who could not bare sitting in silence...
Jambo la kwanza kuhusu wananchi kutaka kumuua mkuu wa wilaya ni jambo la kusikitisha sana na ni la aibu kubwa,lazima tufahamu kwamba tuna nchi yenye katiba na sheria na mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo tunajivunia,kama mkuu huyo inavyodaiwa kuwa alijibu maneno ya kuudhi wananchi...
Angry husband is not happy with his wife & sends a
message to
his mother inlaw: "ur product is not matching my
requirements...."
smart mother inlaw replies: "warranty
expired,manufacturer not responsible after seal is broken".
mambo makubwa hayo!!!!!!
A boy donated blood to his girl friend,
when they broke up the boy wanted his blood back,
the girl threw a bloody pad at him and say i will pay u
in monthly installment!!!
Hii Topic imeanza kama infomation, ina ni-inform njia ya How to use my neighbors wifi internet!, sasa nakuja kuangalia chini kama imenieleza lolote kuhusu how to use my neighbors wifi internet sijaona fundisho lolote, so naomba mwenye ufundi wa jambo hili atufundishe tujue,coz mimi ni mgumu wa...
Hahahahah kweli wanawake wanaweza kukashifu utajiri wa waume zao kwa kudai talaka,hapo ndio utajua kama hawa watu walikuwa wakijilimbikizia mapesa wakati walipokuwa wazee wao ni viongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.