Search results

  1. I

    Past Continuous Tense (Wakati uliopita hali ya kuendelea)

    Nashukuru sana nimejifunza.
  2. I

    Tremor

    Mimi ni mwanamke,umri wangu hajafika miaka 40 asante sana wacha niendelee na dawa za hospital, isipowezekana nitakutafuta. Mungu akubariki.
  3. I

    Tremor

    Ndugu zanguni ninatatizo la tremor. na hii ipo sana mikononii na miguuni, nimepewa neurobin naendelea nazo kila siku sina matokeo. nisaidieni nishaurini
  4. I

    Kiwanja kinauzwa kisukulu

    Ningependa kujua Plot number, na block number.
  5. I

    Uhusiano wa mtoto kunyonya kidole na uwezo wake kiakili

    Ndugu zangu, mara nyingi angalia stage ambayo mtoto anaanza kunyonya kidole. mf mtoto anaanza kunyonya akiwa anamiezi mitatu, ni pale ambapo mama yake anaanza kwenda kazini/shughuli uwezo wa kunyonya mara kwa mara haupo.. Yapasa apate chakula kwa wakati bila kupoteza muda. na yule wa miezi...
  6. I

    Kuongeza kuona njia zipi nitumie

    Kuna kijarida classmate wangu kapewa na Dr hapa India juu ya macho na mambo mengine , labda nawe yaweza saidia. Nacopy 1.Fill water in the cup, dip eye and blink for 100 times, Repeat this process in the next eye. 2.Cotton pads dipped in cold milk placed on the closed eyes for 15minutes...
  7. I

    Topological Map

    Asante Mkuu Blue Balaa. Why bothering na demarcation, wakati mmiliki nishakuonyesha mipaka, au sijakuelewa, Tafadhali eleza zaidi kwa lugha rahisi.
  8. I

    Topological Map

    asante
  9. I

    Topological Map

    Ningeomba kujua kama ni lazima kufanya/kupata topographical map kabla sijapata architectural drawings.Lengo ni kujenga nyumba za kawaida.
  10. I

    Fancing wire wapi zinapatikana kwa bei nzuri?

    Nenda KAMAKA, Piga 2448781 kwa maulizo na walipo. Ni mahali wanauza jumla na rejareja lipo mandela road, mbele ya tabata junction kuelekea ubungo.
  11. I

    Kushuka kwa elimu TANZANIA je kuna mkono wa siasa?

    Hilo lawezekana pia kwani kama hawatengenezi mazingira mazuri ya waalimu, na wanafunzi ni siasa ndio chanzo, Kwani kama nchi lazima iliangalie sana swala la elimu. Kuna mashrooms za academy ambazo sijui ni watanzania wangapi wanaafford, not that na shule zetu za kayumba hata hapa bongo tu watoto...
  12. I

    msaada:jinsi ya kufanya donations kuwa endelevu kwa wanafunzi wasiojiweza

    asante kwa swali zuri, Nimekuwa nikisaidia wanafunzi lakini ni via mwalimu anayefanya kazi huko umasaini Arusha, Changamoto nayoiona ni kuwa watakiwa kupata mtu mwaminifu, kwani hawa wanafunzi wengine shida yao sio malazi watalala kwao shida ni ada, ada za mitihani, na vifaa. Pia some sight ya...
  13. I

    Televisheni vs Fasihi andishi

    Swali je ni television mpokeaji anaweza kurefer later? kwani andishi, atachukua kitabu atarefer. Sijui kiswahili kabisa ila ningeweza kuvisualize na kujibu. Tafakari.
  14. I

    Kuna tatizo gani kwenye mikate?

    asante sana. Sasa hiyo mikate ya boflo tunapate wapi?
  15. I

    England smattest family is black.

    Kwa kweli hii ni changamoto kwa wazazi wa kibongo, Mimi kama mzazi ambaye sio mwalimu nimekuwa nikistrugle sana katika kufundisha wanangu,(Age 8,5,3) Not only that self initative kwa hawa wenzetu wazungu ndio inanifurahisha. Waalimu/Wazazi wezangu hebu tupeni mbinu tuwasaidieaje watoto kuwa self...
  16. I

    hivi viboko mashuleni vinatusaidia kweli?

    Ujinga wa mtoto /kijana umefungwa kwenye akili yake unaondolewa kwa viboko.
  17. I

    Skill of work

    Nini maana ya skill of work kwenye ufundundishaji? Hili ni jambo ambalo mtu alinibeza pale nilipokuwa nampa changamoto ambazo napata katika kufundisha wanangu. Waalimu saidieni hapa tafadhali.
  18. I

    Hello

    Hamjambo wakubwa!
Back
Top Bottom