Acha habari za muamala, jibu hilo la hapo juu la picha kama unataka kuchafuka zaidi naona hili tope halijakutosha, nipe namba yako nikutumie picha zako2 3 for advertise tuone kama utaendelea kujikakamua humu ndani Jforum, utatafuta pa kwenda kujificha, nikurushie1 tu uchafu ulioufanya mlipoenda...
"apewi uduma" ndio nini?
Kalipeni ada huko holly cross shule zimefungua lastweek, sisi kuachwa kwake hakutuhusu tunaongelea habari za watoto!
Chakula tutaendelea kuwalishia sisi.
Ahahahaha! Umejuaje? Tumesha Ongea nae hatusikii! Hadi juzi kabla sijapost hii kitu nilizungumza nae akanitukana, sijamdhalilisha mbona jana katuma pesa ya chakula kama sio makusudi nini? Bado ada atatuma tu! Acha watu wamsome tu hakuna namna ingine (in Pinda voice)
Wengi wanaomtetea ni rafiki zake, wanajaribu kumfichia aibu! No way msaidieni kulipa na kulipa ada ya watoto basi!
Mweeeeh unatelekeza mke na watoto line police!!! Mbombo ngafu
Uzuri situmii ID fake, naona hadi Muhusika mwenyewe kaanza vitisho ila mie wala siogopi, ahudumie watoto wake that's all!!!! Asiongelee ongelee huko pembeni aende Mahakani tutakutana huko!
Katika yote naweza kukujibu2 tu Ili kuweka kumbukumbu sawa, sijaja na ID mpya nipo humu Jf tangu2010 kwa jina hili2, Uliza uambiwe!
Jingine sisi majirani raia tunaoishi nje ya hiyo kambi ya Nasaco ndo tunao hudumia hii familia tangu alipo watelekeza January this year! Kuwapa chakula na mavazi...
Kwanza nimesha Sema hakuna justification ya kutelekeza watoto we Bibi!!!!!!! Hata ikiwa yeye na mkewe wana ugomvi wao watoto wanahusikaje hadi washindwe kusoma? Ukisha leta watoto Duniani hilo ni jukumu lako no way! sio kuwasumbua majirani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.