Mimi nafikiri imewakilisha vizuri huo "muafaka" baina ya pande mbili zilizokuwa zinapingana. Cha msingi wale waliokufa ambao kwa kweli walinyang'anywa haki yao ya kuishi ndio vipi? serikali haitokaa kuwafikiria anagalu kuwalipi kifuta machozi wandugu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.