Daaaaaaaaah aisee..! Eti miale ya mwezi, jamaniiiiiiiii. Mwezi unatoa mwanga......!!!!??????😳😳😳😳😳😳😳😳
Rudia tena kwa msisitizo hapo kwenye ugonjwa! Amin amin nakuambia utakufa wewe kwanza kabla ya Lowassa, ndugu zako watashuhudia haya na watapost huu uzi kuushuhudia ulimwengu.
Kwa kweli kauli ya Bulembo imeusikitisha Umma wa Wapenda Amani! How come mtu na akili zako utamke maneno kama yale tena kwa kuweka msisitizo namna ile? Tusimpuuze jamani ile kauli huenda akawa amepandikizwa kutoka mamlaka zake! Atajilaumu sana kama wanalolitaka halitakuwa. Najiuliza tu itakuwaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.