Baada ya M/kiti wa chama chao kurudisha mswada wa katiba bungeni CCMASEMBE wameahirisha hadi mtakapoarifiwa, My be hela za Sembe na Tusker hazijalipwa. Nawakilisha! Source Radio 1
Wana jamvi,
Naomba kuwaeleza kwamba wilaya ya korogwe jinsi ilivyo hasa kimageuzi, kwanza stasheni za radio hapa ni TBC na redio mmoja ya huko muheza hakuna station nyingine halafu upande wa tv ni tbc tu, hivi kweli unategemea hawa watu wawe na mwamko wa mabadiliko kweli,
najuta kuhamishiwa...
Wanajamvi madodoso ya sensa huku manyara yamekwisha kiasi kwamba yametolewa copy ili kazi iendelee, my doubt ni kwamba hizi dodoso zinakwenda kwa serial number sasa kama ikitolewa copy kama 1000 inamaana serial number inajirudia mara 1000, are we serious with this task. Nawakilisha
Nape is the biggest Gmba of which you are just forced to talk on behalf of the gambazz, rudi shule naona IQ yako ina run to negative, R chuga msitegemee hata mumlete JK agombeee. <br>PEEEEOPLESSSSS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.