Kama ni hayo ya kutaka haki ya upande mmoja ni tatizo haki ni pande zote. Basi na U professa kwa wenye akili ndogo waseme amepewa na Serikali.
Kesi ya Mpendazoe hakuna askari aliefika kutestify mbele ya mahakama kuwa aliona masanduku wala kumuona Makongoro akiwa amekamatwa.
Uongo, someni...
Jamani kwani haki iko upande mmoja tu, mie nafikili hata kushindwa ni haki pia. Mbona Lema alishinda hakukuwa na kelele?
Acheni uchochezi, haki ni kwa pande zote sio upande mwingine ukishinda basi umebebwa. Acheni kupandikiza chuki za ajabu.
Majaji wa Mahakama ya Rufaa ni Majaji makini...
Huyu Jamaa alieanzisha hii topic ana chuki binafsi tu na wala hazitamsaidia.....Atoe hoja zenye kuelimisha si hizi za kufuatilia maisha ya watu.....Hata kama ingekuwa majina yanapelekwa bungeni Jaji Juma angetoka kidedea ni Makini sana Jaji huyu na kiwango chake cha maamuzi ya haki ni cha hali...
Who is Mpendazoe jamani? Huyu Jaji ni Makini, kesi ya Mpendazoe mmeisoma? Ushahidi ule hata wakili wake alishindwa apeleke vipi kesi Mahakama ya rufaa. Ulijaa hearsay evidence na uzushi. Eti Makongoro alikamatwa na masanduku ya kura na kufikishwa kituo cha polisi buguruni. Mkuu wa kituo...
Who is Mpendazoe jamani? Huyu Jaji ni Makini, kesi ya Mpendazoe mmeisoma? Ushahidi ule hata wakili wake alishindwa apeleke vipi kesi Mahakama ya rufaa. Ulijaa hearsay evidence na uzushi. Eti Makongoro alikamatwa na masanduku ya kura na kufikishwa kituo cha polisi buguruni. Mkuu wa kituo akaja wa...
Acheni hayo nchi haijengwi kwa majungu, huyu Jaji ana uwezo mkubwa na ni Proffessor, kwani kikwete kampa U proffessor? Kuhusu Ridhwani hakufeli mnaongea sana bila kuwa na ushahidi. Tukae chini tujenge nchi, maneno ya ajabu tuache. Kuhusu kesi ya Mpendazoe mmesoma hukumu? au mnaongea tu? Wakili...
In UK it has been Legalized and fixed to the defence of necessity. Once you are in a bad position to raise up ya child you might be allowed to abort. They say its fine to do a lesser evil of aborting instead of committing a greater evil to raise up a child bila matunzo hahahaha.
Ni bora kuisoma kuliko kusema bila kuisoma....Kesi ya Mpendazoe imeharibiwa na wakili wake. Hakuonesha ni vipi Mahanga alikamatwa na maboksi, hakukuwa na taarifa ya polisi. Gazeti halikutaja jina wala chama. Vielelzo kama video na picha havikuwakilishwa mahakamani. Jamani Jaji atabeba mbeleko...
Mbona ni jambo la kawaida ndani ya nchi hii swala la ukabila kazini????????? ANGALIA IDARA YA MAHAKAMA....MAHAKIMU WAFAWIDHI NI WAHAYA NA WACHAGGA PIA UONGOZI WA JUU WAHAYA KIBAO.....WASAJILI NA HATA MA ACCOUNTANTS, MAMBO YA AJABU SANA TUACHE HAYA TUFUATE SIFA NA UWAJIBIKAJI......
Haina haja ya kuwaambia polisi....hao wanashirikiana nao....juzi kati hapa lija maa limemtapeli dada flani tena lilisema litakuja toka south africa kwa email....then dada akaenda kulipokea airport likidai limeshuka na ndege na kutumia namba za tanzania....likamwambia limeleta mzigo wa kumpa...
Hivi inakuwaje Wahindi wanakaa nyumba za NHC kariakoo na Posta.....Juu wanaishi chini wana biashara......haiwacost hata mafuta kwenda kazini kama watanzania wengi.....ndo maana wikiendi unawaona wahindi kwenye mabeach na sehem za starehe maana hawana hasara kutumia wikiendi ikiwa wabongo...
Mbona wanapigika tu na vijisababu vyao? Tena vocha hata ya elfu 2000 kwao ni kubwa....hawahitaji kupangishwa nyumba wala nini wako hostel....they are very cheap you can manage to deal with even ten of them....jipange tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.