hivi why kila siku ni kuongelea wanawake tu. hebu tuongelee wanaume basi, mwenye kifua kipana na muscles na asiye kua nayo, mwenye ndevu, ha ha ha mmezidi kutudiscuss ala
yani unashindwa ona wazi kwamba mkeo na shoga yako wako pamoja. mkeo ana mtu wake tena nadhani kakuchoka. hebu kuna kichwa kidogo utaelewa mpango mzima
POLE SANA. Yani situation yako ni kama yangu kwa kiasi kikubwa. tofauti ni kwamba mumeo anatembea na makahaba. wangu sijui ndo karogwa na hawara tena mke wa mtu, wacha nimtaje tu anaitwa rehema mfugale yupo peackok hotel. yani huyu dada sijui ni pepo ama vipi maana imefikia hatua ya kunipigia...
Kila nikiangali tv nakutana mijadala mbalimbali inahusu Mwalim Nyerere walio ndani ya madaraka na nje ya madaraka wanalalamika, mwalimu haenziwi, hivi ni nani wa kumuenzi jamani ,mimi naona hao waliopo madarakani namaanisha wanasiasa ndiyo muhimili wasibaki wanalalamika.Rushwa wao ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.