Kova katumiwa tu,lakini majangili yapo huko TISS,na wabishe kama hawajahusika na kumtesa dk uli, waone cha moto,watasomewa Albadir mmoja baada ya mwingine
What the hell are u waiting 4??tupa kule,kwani pacha wako huyo?mtu kashaonesha hana penz la dhati,,achana nae,tulia,piga kazi,utapata msichana wa maana who knows wat love iz
Chadema rocks bwana! Kwa watu wenye akili na 2liokwenda shule 2nalielewa hili,ila hv vishoko mzoba sijui vime2mwa na magamba,,m2kome!! Chadema mwili mzima!
Kwa nini wasipeleke underground??hemed c alishaenda project fame? Mbona vijana wengine wa kitanzania wananyimwa nafasi?? Thats not fair,au k'babu ni point 5?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.