I really hate this kind of writting, inaonyesha wazi kuwa bado kinda sana. Huu uandishi ni wa kitoto, hata ukiwa na shida wadau wanashindwa kukusaidia immediately just because of your writting style. Halafu kuna wale wanaoandika herufi X pale inapotakiwa kutumika S kama xaxa (sasa), xana (sana)...
Wakuu nina mpenzi ambaye natarajia kumuoa mwishoni mwa mwaka huu Mungu akipenda. Hata hivyo kuna vijimambo vyake sijavielewa kabisa nahisi kama nadanganywa vile (kiswahili lugha maskini sana, ninamaanisha she might be cheating on me) kwani kuna siku niliwahi kumnasa kwenye computer akisoma email...
Nimepata hasira mpaka nakosa uwezo wa kufikiri ngoja nipoe kwanza, poleni sana kwa mliyopitia, story yako inatufundisha vitu kadhaa katika maisha. Pole bro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.