Mwinyi ndiye aliyekuwa tayari kuiuza nchi vipande vipande akigawia waislam wenzake. Alianza na Loliondo,ambako waarabu wanapeperusha bendera yao kama mkoa wa nchi yao. Mzimu unaolitesa taifa hadi kesho kutwa, kisha akaligawa bonde la rufiji kwa wa Iran.
Mkapa akaja na 10% commission government...
Mwuigullu (Savimbi), Wassira,Nape nauye (a son without legitimate father) and their Satanic deeds. Mwigulu ninyi mnamwomba mungu yupi? Jamii forums wanamtaja Bwana wa Majeshi-Jehova.
Kikwete ni rais anayeongoza kuhudhuria misiba ya viongozi na wasanii, hatumwoni kwenye misiba ya waandishi wa habari na madaktari. Hili la Mtwara ni janga la kitaifa yeye kama mkuu wa nchi tunatarajia akomeshe mauaji haya ya uonevu na dhuruma kwa wananchi wake. Hajafanya hivyo, kutokana na...
Hadi kufikia saa hii (3:00 pm) kuna taarifa kwamba ofisiza CCM (maeneo ya Mdenganamadi na Majengo) zimechomwa moto; askari wanne wameuawa pamoja na wananchi kadhaa. Wananchi wanatumia baruti za kulipulia samaki kuwalipua majengo na askari.Hatari iliyopo ni kuchomwa kwa jengo la ofisi za mkuu wa...
Tangu Bunge lianze vikao vyake chini ya Spika Anne Makinda a.k.a. Bi. Kiroboto serikali ya ccm imekuwa ikipoteza kuaminika mbele ya umma. Mosi, kutokana na uendeshaji ukilinganisha na wakati ule wa Mzee wa Speed and Standard,kwa mfano kupindisha kanuni na sheria za uendesheji vikao vya bunge...
Huyu ana lake jambo, si bure. Hakuna kitu cha bure wakati wowote. Anaandaa ujio wa masultani toka Oman ambao tuliwavurusha huko Zanzibar 1964.
SSB anatumia mlango wa nyuma kutawala nchi.Tusione ajabu ikulu siku moja kuwa chini ya rais mwarabu (kama ilivyo kule Loliondo). Naitahadharisha...
Hakuna uchochezi hapa. Kizazi cha sasa si kile cha "ndiyo mwalimu, ndiyo mwalimu!". Kwa maana nyingine,"Kizazi hiki hakimjui Yusufu(Waziri mkuu wa Farao). Hawa wa leo, hawajui TAA, Hawajui TANU, wala Mwl. Nyerere" hiki ni kizazi kipya cha rika lile lile la vijana wanamageuzi wa Tunisia, Libya...
Tuhuma za meli za Kinana kujihusisha na maliasili zetu umeanza kitambo. Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010, ndugu Kinana alishutumiwa kwamba meli zake zimetumika kusafirisha magogo toka Tanzania kwenda China na Hongkong.Tuhuma hizi hazikujibiwa na wahusika.
Mwaka huu tena, meli za...
Kuna tabia au mwenendo unaoleta utata wakati wabunge wanapochangiapo mada, makadilio, au miswada ya serikali inayowasilishwa bungeni. Utaona mbunge anapochangia hoja anaanza na kauli " Naunga Mkono Hoja" au atamalizia kwa kauli hiyo huku akionesha kutokubaliana kwa kiasi kikubwa kwa maelezo yake...
Watu wengi wanawaza kuwa yamkini EL angefaa kuwa mgombea urais kupitia CCM mwaka 2015. Kwa upande wangu naona na ninaamini hivi, Edward Lowassa hafai kabisa kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM kwa sababu:-
Tuhuma dhidi yake kuwa ni fisadi mkubwa kwenye sakata la Richmond na hatimaye...
Unaweza usiamini hilo ni shauri lako; ila ujue kwamba miili mingi ya marehemu wasiojulikana wanaookotwa katika fukwe za bahari Dar es Salaam hutokea katika vyumba vya mateso vya polisi na Usalama. Na kuna uwezekano mkubwa mno katika miaka hii miwili kelekea uchaguzi mkuu miili kadhaa ikaonekana...
Kwa mujibu wa nchi ya Marekani na zile za ulaya na urusi huwezi kutofautisha Uislam na Ugaidi. Ni kitu kimoja hicho.Al-qaida, Al-Shabab, Boko Haramu ni waislam waliobobea. Na hao ndiyo wenye kuchinja watu mbele ya TV kama vile wanachinja kuku. Kisha visu hivyo hivyo huchinjia wanyama wa kuliwa...
Vipi deal la viungo vya albino huko CCM? Yale makafara ya uzamishaji meli hayana nguvu nini? Maana mmetoa order mpya kuuwa na kuchukua viungo vya albino kwa kasi kuelekea 2015.Na meno, vidole na kucha za waandishi havijatosha kuuzima moto wa upinzani dhidi ya serikali ya ccm? Hivi CCM inataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.