sie wa kusini tulikuwa na mabasi yetu maarufu TITICO na MALOLOTA, kuna wakati basi la MALOLOTA lilipotea na abiria wote kijiji cha MANDAWA RUANGWA, likaja kuonekana baadaye.
WADAU, kwa yoyote yule anaejua link ambayo naweza pata mozilla firefox kuanzia version 10 na kuendelea naomba anisaidie, nimejaribu ku'google nikapata but ninapo'download zina'fail... msaada plz
WADAU,
natumia computer DELL VOSTRO, toka ninunue haijawahi kunisumbua but kuanzia jana ninapoenda upande wa internet na kufungua web yoyote ina load na kukubali mpaka inaleta homepage, ikifika hapo tu inaganda (jam) hapohapo na inagoma kuendelea na application zozote za internet. kwenye kazi...
peterkk,
kwanza nashukuru sana the way unvyonisaidia, kuhusu kukuita mkuu am sorry, labda na mimi nikuombe usiniite kaka, mimi ni msichana wa miaka 15 niko grade 12 (same to F-IV), pls peterkk naomba unisaidie hiyo website ili ni'download usiku huu huu,
thanx in advance...
mnashangaa kula nyama ya nyani? njooni ntwara na lindi muone tunavyo ila tena bila kificho, pia ipo nyama ya kenge (huyu ni mtamu hata huyo mdudu wenu hafui dafu), samaki nchaga (mnawaita panya pori) n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.