Nilikuta tangazo website ya zoomtanzania nimeapply,jamaa wamenitumia maswali yao nimejibu na jana wamenitumia mkataba. Je kuna ukweli wowote au ni matapeli tu naomba msaada tafadhali.
Mbeya ukiwa mtu wa starehe ni rahisi kujulikana hata kama umefika mkoa huu ndani ya wiki kutokana kuwa na sehemu moja ya kula bata na zote ziko jirani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.