Naomba msaada wa kuunganisha router ya TP Link na modem ya 4G ya Vodacom. Nikiunganisha modem moja kwa moja kwenye laptop napata internet, ila nikiunganisha na router hakuna internet.
Natanguliza shukrani.
Digoo DG-M1Q 960P 2.8mm Wireless Mini WIFI Night Vision Smart Home Security IP Camera Onvif Monitor
Kama unaweza kuipata hii ni nzuri sana na bei yake ni rahisi. Mimi naitumia.
Mkuu unaweza kunipa specs za system yako? Unatumia camera zenye specs gani? Je dvr yako ina hard disk ukubwa gani? Ni nini changamoto unazozipata? Nauliza hayo kwa sababu na mimi nina mpango wa kuweka cctv kwenye makazi yabgu.
Kwa sasa hivi tupo katika harakati za kufungua sehemu ya mauzo kwa Dar es salaam kwanza. Baadae tutafungua sehemu za mauzo kwenye miji mingine. Asante kwa kuuliza.
Tofauti ya kwanza ni ubora wake. kama ulinisoma vizuri nimeandika kwamba hii taa inawaka kwa SIKU 5 ndio inazimika. Nimeifanyia majaribia mimi mwenyewe nikalinganisha na zingine zinazowaka kwa MASAA MATATU au MANNE tu. Kuwaka kwa muda mrefu wa taa hii ni ubunifu mpya ulio na haki miliki kutoka...
Mkuu Maundumula nakubaliana na wewe kabisa. tanzania ni nchi ambayo ina rasilimali nyingi mno lakini hatuzitumii vizuri. Tusipoangalia tutageuka kuwa kama DR Congo wakati fulani walikosa hata mtaji wa kuchimba rasilimali zilizozagaa nchini humo. Tuwe wazalendo, tufikirie watoto wetu na vizazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.