Nakubaliana na @chakunyuma, ili tupate maendeleo endelevu, tunahitaji kujenga taasisi imara. Si watu imara. Maana tukichagua hilo la pili, basi hatuwezi kuwa na hakika na kesho.
naunga mkono hoja, lakini sidhani kama ni lazima kumnyima rais mamlaka ya kuteua hasa kwa baadhi ya nafasi muhimu. Lkn jambo la msingi ni kupunguza mamlaka yake ktk uteuzi. kwamba kila mteule wake, ahojiwe, ajadiliwe na mwishowe apigiwe kura na bunge. Hiyo itampa discipline Rais, hataweza kuteua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.