kwakuongezea, naomba mtu ambaye yuko very serious. sio tuwasiliane for sometimes halafu utake tuonane only kutaka kujua nafananaje. muonekano wangu, huwezi kunijua kabisa. nina muonekano mzuri ambao unaweza kudhani natania kua ni muathirika, lakini ukweli ndio huo. naomba maswali mengi yatumwe...
habari zenu wana jamvi la "great thinkers". mimi ni mgeni kabisa katika jamvi hili na ni mara yangu ya kwanza kuweka post yangu hapa, japo ni msomaji sana wa JF lakini kama mgeni.
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni mama 40+ naishi na virusi ya ukimwi. ningependa kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.