kwani BBC wamesema uongo! yaani serikali ya ccm imetutengenezea watu wa hovyo sana, watu ambao hawatumii akili kuwaza, watu ambao hawana Hoja zaidi ni vihoja tu, maana hata hiki ulichozungumza ni kihoja, na unashindwa kuisema TBC yenu ambayo ni televisheni ya taifa lakini BAGUZI kinakua kama...
ninashangaa sana watu wanahoji kwanini nchimbi hafuatani na lowassa, mnajua kabisa nchimbi yuko kamati kuu ya ccm, leo akiondoka mapema hivi tutapata wapi taarifa za kamati zinazo kaa kumjadili eddo, LOWASSA NI TAASISI KUBWA.. inabidi uwe genius sana kujua haya mambo.
Acha akili za ki bangi bangi we chiz, kwani hujui kunawatu wanaitwa Moshi??!,, afu nahisi ww ni ifweero umeingia na ID nyingine... sijui mnalipwa sh, ngapi!!
Alie kua Mwenyekiti wa mkoa wa Mwanza Hh. Clement Mabina na Diwani wa kata ya kisesa ameuwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa na mawe kwa sababu ya ugomvi wa ardhi.
Mheshimiwa huyo ameuawa kutokana na kuvamia hilo eneo na kuanza kupanda miti na kujenga ili hali kesi kuhusu eneo hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.