Naomba kuwafahamisha TRA na wadau kuhusu wizi unaofanywa na Fastjet pamoja na Kampuni ya kufunga mizigo (wrapping services) kuwa Kampuni hizi kwa ujumla zinaibia serikali mapato yanayotokana na kipato kinacholipwa na wasafiri. Mimi nilisafiri na ndege ya fastjet nikiwa na ndoo ya Sato nilipofika...
Leo serikali kupitia waziri mkuu aka mtoto wa mkulima imetangaza kuunda tume kwaajili ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne 2012, je tutegemee nini kwa sisi watoto wetu walipata daraja la nne na Sifuri?
Wana JF, nimesikia na kusoma kwenye vyombo vya habari na magazeti kuwa serikali inaangalia uwezekano wa wanafunzi 60% waliofeli warudie mtihani na hata ikiwezekana walipiwe gharama za kurudia, je hii itakuwa ndiyo Muarobaini wa kufeli?
RIP F. Mushi, Dr Shein rais wetu unakazi kubwa ya kufanya kumbuka kikulacho kinguoni mwako, usiwachekee tena hao wauwaji ama sivyo uvumilivu ukiisha kwa Wakristu patachimbika
Hahaaaa pole sana sisi maeneo ya Mabibo mpaka jamaa zetu Kigogo tumeshazoea kwa sasa kwani kila siku kaunzia saa 12 Jioni mpaka saa 4 usiku umeme lazima ukatwe, huu ni Mgao wa kisiri siri na ninasikia kuwa walishapigwa maarufuku kutangaza badala yake wanatakiwa kusingizia uchakavu wa miundo mbinu.
Wana JF,
Mwenye taarifa sahihi naomba anifahamishe lini matokeo ya kidato cha nne (IV) yatatolewa? ili niweze kuondokana na shinikizo la kuwaza pasipokujua siku wala saa.
Wasalaam
Mdau
Wana JF,
Napenda kuwa tahadharisha wote kama kuna mtu anataka kununua LUKU kwa kutumia TIGO pesa asijaribu ili asijepata taabu kama nilidhalilika mimi jana. Kwa ufupi ni kwamba nilipata taarifa kutoka nyumbani kwamba LUKU imebaki unit 2 kwa hiyo ninunue, chapu chapu nikaamu kununua kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.