Pasco na wana bodi wengine humu ndani swali ni hili: Je hawa wanaolipwa mishahara minono ya kuanzia milioni 10 kwa mwezi wanaongeza "value" gani kwa mashirika wanayoyaongoza? Wanasaidia nini zaidi? Haya mashirika mengi kama sio yote yamekuwa mzigo kwa serikali kutokana na madeni, ubadhirifu...
Sijachangia miaka mingi ila hili la mshahara wa mh Raisi limenigusa. Mh. Magufuli analipwa kidogo sana kulinganisha na other heads of states in East Africa. Predecessor wake "Vasco Da Gama" made a very handsome salary and katuachia UOZO utakaochukua decades kuusafisha. JPM ni mzalendo, wanaopiga...
Viongozi madikteta ndio huwa wanaangalia titles zao, viongozi wa kweli huwa wanatoka huko juu na kuwafuata watendaji wao huku chini. mimi nimeipenda hii management style ya Magufuli.
Sijui uwezo wa Membe kiutendaji lakini kwenye picha, kama ni picha tu zingekuwa zinatumika kama kigezo cha mtu kuwa President, basi the guy looks presidential.
Ukosefu wa kazi na pia kupenda ku mind biashara za watu wengine. Sisi Watanzania watu wa ajabu sana. Huku tunapenda na kukumbatia mambo ya western world huku tunajidai kupinga uvaaji. Ndio mambo ya utandawazi haya, the two are inseparable na sijui mtachana vimini vingapi maana this is just the...
Madame X hoja nzuri lakini vile naomba kusema kuwa sio kila successful black man anafanya hivyo yaani kukimbilia white women. Mfano mzuri ni Denzel Washington, Will Smith, Jay Z, na kadhalika. Nafikiri inatokea tu kuwa preference ya mtu. Kwa mfano, kuna mabinti watatu wa kizungu ambao nawajua...
Ni obvious kwamba siwezi kubishana na mtu mwenye "ubongo" wa aina yako. Ni kweli kabisa inaonekana kwenu ninyi "wateule" wachache watu wa CCM, wale wooote especially vijana wanaopigika na taabu za maisha ya kila siku kutokana na SERA mbaya za chama chenu ambazo ndizo zinaliongoza taifa kwa karne...
So you really wanna have a lot of sex?.......Tengeneza mazingira ambayo yatamweka mammy kwenye good mood...nakuhakikishia utakuwa unakula tunda kila siku. Wanawake ni watu wa kudeka so mdekeze wako, be a good listener, mfanyie suprises na vijizawadi once in a while, siyo lazima umpe vitu vikubwa...
So you really wanna have a lot of sex?.......Tengeneza mazingira ambayo yatamweka mammy kwenye good mood...nakuhakikishia utakuwa unakula tunda kila siku. Wanawake ni watu wa kudeka so mdekeze wako, be a good listener, mfanyie suprises na vijizawadi once in a while, siyo lazima umpe vitu vikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.