Kweli si somo la maarifa ya uislamu pekee ambalo limechakachuliwa bali masomo yote kwa vijana wa kiislamu huhujimiwa kila mwaka.Naona wale ambao hubeza hii hoja wote wamenywea.Na bado,tunaendelea kukusanya ushahidi kuonyesha jinsi ambavyo NECTA hutoa mitihani kabla kwa shule za kigalatia na kwa...
Mwinyi hakuwahi kutangaza kuutaka uraisi.Shein hakuwahi kufanya hivyo pia.Ni lini na wapi EL ametamka kwa kinywa chake kwamba anataka kuwa rais?Huu mkumbo huu!
Hatuhitaji utetezi wa kimahabamahaba ndugu yangu.Tunachohitaji ni ushahidi wa kweli kuonyesha kwamba Lowasa alimpa sumu Mwakyembe.Elewa tumemsihi sana Mwakyembe yeye mwenyewe aufahamishe umma juu ya ripoti ya ugonjwa wake hataki.Rafiki siwazuii kumpiga na mayai viza Lowasa akija kwenu kama...
Unaweza ukawa sahihi kwa upande mmoja.Lakini swali la msingi linabaki palepale.Ni kwa nini Pinda alishindwa kwa Jairo kwa kisingizio cha kutokuwa na mamlaka lakini ameweza kwa Nyoni wakati wote mfumo wa ajira zao ni mmoja?
Mkuu naona kama unahukumu vibaya.Hakuna ushahidi hadi sasa kwamba jamaa alimfanyia kitu kibaya Dr Mwakyembe,na hasa ukizingatia si yeye Mwakyembe ama serikali kwa maana ya vyombo vya dola ambavyo vimethibitisha hilo.Hivi ikitokea ripoti ya madaktari ikaonyesha kwamba ugonjwa wa Mwakyembe hauna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.