Wadau mi nilisha jaza form yangu ikaniandikia ready for submission.sasa jana naenda kuprint inaniandikia form incomplete kufungua inaoneasha guarantor form ipo incomplete but nkiicheki yote nimejaza hata ni ki edit upya iyo guarantor haibadiliki so jamani wadau nisaidieni siku zinaenda inazingua...
jamaa wanazingia sana.mi nlishamaliza ilibaki ku print tuu.leo naenda ina andika incomplete yani guarantor nkifungua iko poa,niki edit problem bado.jamaa hawako makini bado.wanazingua sana tuu
wadau na wataalam wa kufikiri nawasalimuni.
naomba kuuliza mbona nkifungua OLAS inasumbua sana inasema cant connect to data base.sasa registration na ku fill form itafanyikaje
wewe asili yako wapi?
sio una crash tuu.huo ni ukweli.
kwa mfano unapoambiwa wangoni asili yao ni Afrika kusini ni kwa sababu umesoma katika historia na uliandikwa.kuna historia nyingine hazijaandikwa katika vitabu vya shuleni.
Nchini Tanzania kabila la wachaga kwa asilimia kubwa lina uhusiano na asili ya uyahudi.
kuna koo kubwa kama Nkya.,Mushi,kileo,Lema,Munisi,Munishi,kirenga., ambao ancestor wake au baba yao Mweri alihamia Kando kando ya mlima kilimanjaro maeneo ya kibosho ambapo baadae alizaa watoto na mtoto...
mkuu nisingeweka iyo heading ningesoma mimi na mke wangu tuu.hakuna mtu angepata maudhui.na kujadili hii mada
mi ni mdau wa elimu ila tumekosa elimu ya finance
hili ni suala mtambuka.labda niseme hivi navyosema masikini simaanishi kuwa ni hana kitu kabisa tena wanalipwa zaidi ya 4miiion.lakini wana financial security tuu .lakini hawana fi
ancial freedom.mkuu ipo tofauti kubwa sana kati ya financial security na financial freedom.
Kwa ufupi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.