Salaam kwa WanaJamii Forum wote na nashukuru kwa kunikaribisha.
Nimevutiwa sana na mtandao huu kwa jinsi unavyoendeshwa kwa kuzingatia taratibu na uhuru wa mawazo.
Naomba kwa kutumia Jukwaa hili tufanye mjadala wa kina utakaoweza kuweka bayana TASWIRA ya nchi yetu kwa sasa. Hebu tujiulize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.