We sema ni demu wako,ukificha ipo siku utakuja laumu watu, Ninavyofahamu waliosomea course hiyo wanaweza pia kufanya kazi ya kuwa WASEMAJI wa kampuni au organization. Je anaweza na yupo tayari ani-pm na cv.
Sina uhakika hawa jamaa wanasubiri nini japo siku ya kufunga kikao cha bunge waziri mkuu pinda alikifagilia sana. Wadau wenye kulijua hili mtujuze tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.