Kura za kinafki! Kura za maoni wapige CCM sio watu wengine! CHADEMA wanajua kuwa akigombea MEMBE hawapati, lazima wajifanye kumshabikia MAMVI! Wanajua Mamvi akisimama watapeta tu! Kama na we uliyeleta post umepewa hela na Mamvi, ukome! Kwa nini ulete ya watu wawili tu, kuna aliyetanga kati ya...
Tuache kuwa paranoid! Mtu utumbo ulishatoka na ukawa contaminated na external agent wangeuchelewesha ulishaanza kuharibika! Ukumbuke ulipigwa bomu so viungo vyake vimekatikakatika!
waislam tunaelewa fika kuwa tunafanywa daraja la pili katika nchi yetu wenyewe. waislam wote wanaelewa,huwezi amini kuanzia primary level to university level,makazini,mitaani mpka majumbani waislam wanaelewa kuwa kuna ubaguzi mkubwa wa kini. tumeongea na tunaongea sana lakini hayapatiwi...
sijui hata nikujibu nini! inawezekana una IQ kubwa lakini uwezo wa kichwa chako kuhimili IQ yko ni mdogo! mi siwez kushkuru mpka niwe nimeleta thread!? thnk about it
am contrary! am aint search kind of a person, Elimu yangu ni CV ya kutosha. martial art niliipenda tangu mdogo na kuweka nia nitakuja kucheza siku moja. kuna sehem moja hv nlicheza kidogo lkn kwa sbb y kubanwa na masomo nliishia njiani
Hao wanaoitwa mafisadi ndio wachangiaji wakubwa wa Kanisa katoliki! Afu at the same time kanisa linajinadi kukemea mafisadi, picha gani inajengeka! UNAFIKI MTUPU!
huo ni unafki, kwani lowasa mara ya kwnza kualikwa harambee ya kanisa katoliki! kuhusu yeye kualikwa harambee ilikua inajulikana kitambo kidogo na ilishapangwa aongee! RC hana uwezo wa kuvunja protokali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.