Kwahili hats mimi sijaona shida kuiita pesa yetu no madafu sababu neno pesa ya madafu inamaanisha dafu halijawahi au muuza dafu hawezi kupanga being ya dafu kwa gharama za kigeni. Name dafu laliwa lachokolewa sana hapa kwetu mpaka twapata tezi Duke Yakheeee
Ngoja nikusaidie Sugu ni form six na ana exposure ambayo akisimama na wewe na kadigirii kako ka Kata lazima uzime zako. Alipoenda ulaya alifanikiwa hata kurudi na vifaa vyake sio huyo Krisslukosi wenu mpaka leo anabeba box, akirudishwa bahati mbaya hajui ataanzia wapi
Usifikiri uzuri wa chuo ni kuwa na kina Dr. Mbamba au Dr. Yeyote wa UD maana hata wao wanafundisha na kutunga mitihani na kusahihisha kulingana na wanafunzi wao, jaribu kufatilia utapata hilo jibu ndo haohao wanafundisha Mzumbe, IFM hata SAUT na KIU.
Au nikusaidie subiri matokeo ya form four...
Muweke Mulugo Mbele yako alafu ujiulize hilo swali na uanze kujipa majibu mwenyewe, je ungemuajiri?. Unajua vitu vingine usipeleke kwenye umati utapata majibu ya hisia tu
Usimpe kichwa hakuwa kiongozi wa Chadema bali alikuwa kibaraka wa Chadema kusaidia kufikisha ukombozi kwa watu huku mwenyewe akihisi atafisadi sasa analalama kama mjane aliyedhulumiwa. Hivi ni kikao kipi kilikuchagua na umewahi kuitwa kuja kushiriki mikutano ipi ya viongozi wenzako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.