Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba atakuwa live katika kituo cha Star Tv kwenye kipindi cha tuongee asubuhi dakika chache zijazo.
Usikose kufuatilia
watumishi ,wanafunzi,wanaosubiri ajira,wafanyabiash,wakulima
wote hawa bado WANAJIPA MOYO wanasema HUENDA HUKO MBELE MAMBO YATAKUWA MAZURI,
HUENDA HUKO MBELE ATAAACHIA.
ila SIKU WAKIKATA TAMAA
Hawa waliokuamini
itakuwa hatari kubwa
hivi mnaouliza lini mtaenda ?
mnadhani humu mtapata jibu sahihi zaidi ya kudanganywa/ kupotoshwa/ kufarijiwa/ kukatishwa tamaa& kudanganyana????
hiii awamu ya tano mambo hayo ya ajira ni mpaka JPM mwenyewe atoe tamko .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.