mkuu habari za kweli hizi kuna mdogo wangu ana salary slip ya mwezi wa tano ila yupo home anakula ugali tu huku anasubilia hatima yake ambayo haijulikani itakuwa lini.Wanateseka sana mkuu alikuwa huko mkoa na anadaiwa kodi inabidi nimlipie ndo akachukue vitu vyake. ni shidaa sana
Hao vijana waliositishiwa ajira mwezi june 2016 kiukweli wanateseka sana, wengi wao walishapanga nyumba hadi sasa wanadaiwa kodi na vitu nyao vimezuiliwa na wenye nyumba NA mwezi june hawakupewa mshahara ingawa walifanyakazi hadi tarehe 23/6/2016. Nauli za kurudi makwao tuliwachangia baadhi...
mwakani tena???, hao waliorudishwa nyumbani kweli wanatia huruma sana maana kuna jamaa yangu mmoja aliachakazi hapa ofisini, sasa hivi anajutia maana kodi imeisha alikokuwa kapangiwa na kurudi huku nafasi yake alishaajiriwa mtu mwingine ni shida maana anafamilia na mtoto mmoja .
mheshimiwa sn ni...
watu watapiga hela tena kwa mamvi!!!! jamani tujianda kumalizia vibanda vyetu kwa hela za mamvi zinakuja tena te te teee watu nanafurahiya kupiga hela tu kwa huyu mtu
Mimi ni nurse wa ngazi ya Diploma natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo. Mimi nipo katika hosipitali ya wilaya ya Ngara, Nyamihaga. Nataka kubadilishana na mtu wa Pwani au Dar es salaam.
Namba yangu ya simu ni 0766-787503.
Ipo ktk hali nzuri sana inatembea bei ni 3.5m ipo Dar kinondoni karibu na kanisa la biafra kwa yeyote atakayeta kuiona tuwasiliane kwa number 0766 787503,
msameeni mtoto wa watu jaameni maana hakutegemea, kifo ni kwa kila binadamu so siku yake imefika na hata huyo mtoto akitoka leo atakua anajuata kwa kusababisha kifo cha kanumba the great, bt for me she is innocent person, kukimbia ni kuepusha shari,tuwe wakweli wanajamii fr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.