duh!! m bona wa2 wenyewe ni wa kuhesabu, halafu wamevaa vikofia?? au ndo vazi rasmi la cama chetu?? ngoja na mm nikakinunue hicho kikofia na hilo ' dela' jeupe nivae nikamskilize bwana mtatiro.
Nilishawahi kusema kuwa nyinyi waislam hamna shukrani, shule zetu sisi wakristu tulinyang'anywa na Mwl. Nyerere ili na nyinyi walau mpate elimu lakini bado mnadai mlikuwa mnaonewa kwa majina ( ambayo hayakuwepo)? mm nilidhani nyie ndo mngekuwa mnamshukuru Nyerere kuwasaidia kusoma ili walau...
Mkuu NAPE nakusihi ujaribu kuwa mkweli, wewe unadhani CCM haihitaji mafisadi? kama ni hivyo basi mbona ulifukuzwa wewe Igunga na nafasi yako akapewa fisadi namba 1 wa CCM; ROSTAM? Namaanisha kipindi cha uchaguzi mdogo kule Igunga. Plz nijibu swali langu mkuu!!
Na nyinyi ndugu zetu waislam mmezidi kulalamikia v2 vilivyo wazi kabisa.., hebu boresheni shule zenu msitulilie maana kama mmeamua kusoma juzuu bila elimu dunia, hayo ni matatizo yenu!!! ss tunasoma vyote ; elimu dunia na elimu ahera na ndio siri kuu ya kufanikiwa maana kwa elimu tunaongaza. SS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.