Search results

  1. Ivonya-Ngia

    UKAWA badilisheni mfumo wa siasa zenu-Ni wakati wa kubadilika

    Nilimsoma kwanza Kitila kama hivi.... Wakaja waungwana wengine kama hivi.....sasa ni wewe Ibilisi Ila sasa naona mapokeo ya wakereketwa ni vile vile. Naanza kuwaamini wale wasemao kuwa kabla ya kukuangamiza Mwenyezi Mungu hutuma waja wake kwanza kukupa fursa ya angalizo na kujirekebisha na...
  2. Ivonya-Ngia

    Kila mtanzania ajitathmini ndani ya siku 100 za serikali hii amelifanyia nini Taifa na yeye Binafsi

    Ukiipenda "pepo" sharti uwe radhi kuonja mauti kwanza.
  3. Ivonya-Ngia

    Habari Nzuri: DPP Kapewa Taa ya Kijani; Akishindwa Atatumbuliwa!

    Unataka tuiamini serikali ipi sasa?
  4. Ivonya-Ngia

    Ukimya katika jambo hili nyeti unadhihirisha udhaifu wa Waafrika kwa 100%

    Ila kwa hili Kagame amewatega vibaya maana msingi mkuu wa hiyo demokrasia ya magharibi ni maamuzi ya watu(katika wingi wao) na Kagame ili kuongeza presidential term akarudisha wazo zima kwa wananchi ili watoe uamuzi nao kwa wingi wao wakasema NDIYO. Bad enough katika hii demokrasia...
  5. Ivonya-Ngia

    Kikwete vs Magufuli - uteuzi wa watendaji wa serikali

    Tuthibitishie hapa kuwa rais haiamini mifumo ya usalama.
  6. Ivonya-Ngia

    Lowassa: Kumeibuka tabia ya kuwanyanyasa waliounga mkono upinzani

    Kuna jambo moja tu hapa...huyu ndugu amenusa harufu ya mchakato wa DPP juu yake sasa anatafuta public sympathy mapema. Let's wait and see!!!
  7. Ivonya-Ngia

    Je, Werema, Muhongo na Maswi ni wahanga wa pesa za kampeni ya CCM?

    Bora hii 2015 iende zake sasa maana imetuvurugia sana afya ya mijadala hapa JF
  8. Ivonya-Ngia

    Ripoti ya matokeo ya uchunguzi kuhusu Escrow, Maswi hahusiki!

    Mwenzako kaja na kielelezo sasa nawe tuletee chako kuonyesha huyu bwana Maswi aliiba nini na wapi?
  9. Ivonya-Ngia

    Kamati Ya PAC: Nani zaidi Kati ya Zitto na Kubenea?

    Kweli akutukanae kamwe hakuchagulii tusi....ati ZZK na SK!!!!????o_O;):(
  10. Ivonya-Ngia

    Tiba Asili wamjibu Dr Kigwangala

    Na hapo ndipo mara nyingi tunapopata mkwamo, wenye mamlaka wakigwaya katika hili dharau zitakita mizizi.
  11. Ivonya-Ngia

    Who are they: Mbowe, Sitta, Slaa, Zitto, Mwakyembe, Kubenea, Lissu, Rostam...

    Wakati mwingine huwa nawajibika kumfikiria zaidi mzungumzaji wa jambo kuliko jambo lenyewe linalozungumzwa, uzuri huwezi kumzuia mtu kuzungumza ila kwa hakika unaweza kuamua kuchagua kuyapuuza anayoyazungumza na maisha yakasonga mbele tu tena kwa speed ya kimondo.
  12. Ivonya-Ngia

    Mtandao umekufa rasmi, kazi ni kusafisha matokeo yake.

    Well said Lole Gwakisa Wengine tunasubiria kwa hamu kuifahamu hii syndicate....natumai ipo siku kuna an individual kutoka within(kwangu mimi JK ndiye perfect) aje atuandikie kitabu ili tupate an insight toka early 1990's throughout 2015.
  13. Ivonya-Ngia

    Madhara ya kuchelewesha sana Baraza la Mawaziri

    Ndugu yangu Mchambuzi Umefanya uchambuzi mzuri ila kiasi fulani natofautiana nawe maana wakati mwingine ni vema tuwe na cost-benefit analysis. Bora mawaziri ama mawaziri bora??? Kwangu mie naona kujipa muda wa kutosha kutafakari malengo kwa kina na mahitaji ya nyakati ni jambo bora zaidi kabla...
  14. Ivonya-Ngia

    Nani awatete wahusika wa mtoto wa Box?

    Kwa taratibu za JMT yeyote anayeshitakiwa kwa makosa ya mauaji ni lazima awe na wakili wake wa kumtetea mahakamani(mara nyingi huwekwa na Jamhuri lakini pia huzuiwi kuwa na wako binafsi) hivyo kwa yaliyotokea sidhani kama hao washtakiwa walikuwa katika hali ya sintofahamu na kukosa mtetezi wa...
  15. Ivonya-Ngia

    Mwanakijiji, jiandae na kibarua kuandika makala katika gazeti la Uhuru kukosoa serikali ya Lowassa

    Nitairudia hii thread siku ya Alhamisi ya tarehe 29 October 2015.
  16. Ivonya-Ngia

    Wafanyabiashara wa mbao na bati, nikopesheni

    Hili linamjengea shaka mkopeshaji yeyote. Inaonekana binafsi unakosa mipango/mikakati madhubuti na kuisimamia. Umejipanga vipi kukabiliana na hayo matatizo siku za mbeleni? Ikiwa ni pamoja na kuhakikisha unalipa deni kwa wakati? Maana kamwe matatizo huwa hayaishi na kumbuka mkopeshaji...
  17. Ivonya-Ngia

    Kagame: I have not asked anyone to change constitution for me

    ..........then block the process Mr. President
  18. Ivonya-Ngia

    VIDEO: Rais Kikwete azindua Uwanja wa Ndege za kivita Morogoro; Mkuu wa Majeshi ahudhuria

    Just simple MTAZAMO,,,,haya mambo ya kuzoea kuishi kwa ghiriba tu, cheap politics. Now everything starts to translate itself as we're heading the D-day. Haya yanapita kwa kasi na hii silly season!!!!!
  19. Ivonya-Ngia

    Kumbukumbu ya miaka 16 tangu kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    This is an insult,,,,Nyerere kamwe hawezi kulinganishwa na hawa uliowataja hapo. Unless utuletee wakina Hamza Mwapachu ama Oscar Kambona ama Dossa Aziz...hawa wa level hii ndugu. Halafu yule mzee angelikuwa hai sijui fate ya "mtu wetu huyu" ingelikuwaje by now!!!!!
Back
Top Bottom