Safi sana CCM manake wanazidi kujichimbia kaburi ubunge wa Arumeru, na waendelee kufarakana ili CHADEMA tupate nafasi zaidi, Kaaya wote watapigia Nassari
Yaani hata mwezi wa pili haujaisha yeye tayari kashatoka safari zaidi ya tatu yaani kila mwezi lazima asafiri wakati hapo Jirani Kibaki hajasafiri tangu mwaka uanze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.