Bodi ya mikopo kuchelewesha pesa za vitivo kinyume na mkataba kwani pesa hizo ziliitajika mwanzoni mwa s emister ili zifanye kaz yake lakini bodi bado hataki kutoa cheque hii imesababisha wanafunz weng kusoma katika mazingira magumu hivyo tunaomba hsleb wafanye hima kabla hakijanuka sabab...
Tatizo liko kwao watendaji waserikali kwani huwezi kupata mtihani bila kumconsult mtu husika hivyo serikali na necta wajitazame upya na inapotokea udanganyifu katika mitihan inabid mtahiniwa atafutwe na kuhojiwa majibu au hiyo mitihan aliipata wapi,hii itasaidia kuwapata wanaovujisha mitihan
kweli kaka hali inatisha coz wanafunz wengi form4 wanafeli kutokana na mssingi mbovu waliotoka na primary,ukizingatia na shule za kata zilivyo tafta hizo habari ili na ss wana jf tuzipate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.