Umeona apo @ Evelyn..., iyo ni taarifa ambayo hawezi kuitoa...angeweka mambo wazi tu watu wazima wakamuelewa...! Under normal circumstance asingeona aibu kama angekua na dushelele la ukweli..!
Ila nadhani hii kitu ni rahisi kuifatilia.....Apo unadeal na uyo Shija tu...kila kitu kitajulikana tu...ao jamaa wote watajulikana labda wahame nchi...
Ukingalia kwa makini huo mtiririko wa matukio utakuja kuona hakukua na sababu ya Msingi kwa Raisi Kikwete kuongelea suala hili kwenye ule mkutano kama kweli nia yake ya dhati ni uondoaji wa tofauti ya serikali ya Rwanda na FDRL kwa njia ya mazungumzo! Mie naona angetumia principle hiyo hiyo...
Hello wana jamvi. Nimekua nikijiuliza sana ili swali lakini leo nimeona nipate ushauri kutoka kwa wadau. Kwa mtazamo wangu mie nilidhani wanaume ndo wanaenjoy sana game coz orgasm kwao ni guaranteed, but napata mkanganyiko coz wakati wa game utakuta wanawake ndo wanaonekana wanaenjoy sana kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.