Search results

  1. Lukub

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    BLUES Ian Maatsen ni MALI SAFI na MTU WA MAANA SANA kwanini huyu kijana kaenda dortmond tutampoteza huyu
  2. Lukub

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hawa tungewafinyia chini tuwapige goli saba hakuna ubaya wowote,
  3. Lukub

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu umenyoosha ,wakati city kapigwa chuma mbili na astonvilla mechi ya mwisho na ushindi ni lazima kunyanyua ndoo ,washabiki wangeondoka sijui ingekuwaje
  4. Lukub

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Spurs mlevi anapigwa gongo 4 na Newcastle akamfunge city ndugu akili za kilevi kabisa , arsenal perfect team alikaa nyuma kwa city
  5. Lukub

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mwamba call it PERFECT HATRICK
  6. Lukub

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii tabia ya Hamis kujificha umefungwa mechi moja tu haikubaliki kabisa ,Hamis nakukumbusha tu Isak na Jesus unakwenda na nani😂😂😂😂😂😂
  7. Lukub

    KERO Uwanja wa CCM KIRUMBA una matundu manne 4 tu ya vyoo

    Kitangiri ninayoifahamu kumejaa ni wapi wanaweza kujenga uwanja?
  8. Lukub

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bora tukose wote wachukue city maana mgetuletea mate sana bora mashabiki wa man city mtaani wapo wanne tu .
  9. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ligi imeisha city akikuacha point moja unajua nini kinafuata
  10. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mwendo kwenye ubingwa mmeumaliza imani ya kupambana na arsenal na city mmeilinda mpumzike nafasi ya tatu kila mwana liverpool aitikie AMINA kubwa.
  11. Lukub

    April 20 Yanga atashinda goli 2+

    Kusanya hata milioni 3 kamuwekee yanga ana odd 2.44 upate milooni 6 ,kuandika humu haufaidiki na chochote.
  12. Lukub

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kuna wafungaji halafu kuna Isak ukimuacha one against one ni killer
  13. Lukub

    Kwanini Mdude Nyagali anatumia lugha za kumdhalilisha Rais wetu pasipo kuchukuliwa hatua? Naumia sana moyoni mwangu

    Mama kawa mpole sana aseme neno kuna waliopitiliza tuwarejeshe kwenye line .
  14. Lukub

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    The Cask 🪣🪣🪣
  15. Lukub

    Tangu lini Idd ilisherehekewa kwenye vivuko? Huu ndio uchumi wa Kati? Mwigulu tunaomba majibu

    Unawapangia watanzania washeherekee wapi,kweli uhuru wetu umepitiliza ,kuna mtu alikupangia ukashabikie chadema?
  16. Lukub

    Haya ndiyo mafanikio ya wasemaji kati ya Ali kamwe na Ahmed ally

    Du haya mkuu msemaji wa ahly wenye makombe 11 ya africa ni nani?na msemaji wa Tp Mazembe wenye makombe 5 ya africa na shirikisho 2 ni nani ? Msemaji wa experence du tunis wenye makombe 4 ya africa ni nani? Tusipojifunza kwa hawa hatuwezi kufika walipo.
  17. Lukub

    Patrick Nyembera ndio adui mkubwa wa Yanga. Wananchi tuunganishe nguvu kuingia nae vitani

    Ushabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawa
  18. Lukub

    Azam TV jitokezeeni hadharani Muwaombe radhi viongozi wa Yanga Sc, mashabiki na wadau wa mpira kwa interview ya Fiston Mayele mliyoiyoifuta

    Mpira haujamshinda huko misri team yake inaongoza ligi na yeye anayo magoli matano ndio mshambuliaji kiongozi acha kukaririshwa yuko vizuri
  19. Lukub

    Haya ndiyo mafanikio ya wasemaji kati ya Ali kamwe na Ahmed ally

    Kumbe wasemaji wanacheza watanzania ujinga umejaa na unamwagika ,hauwezi kukuta ujinga huu kwenye nchi zinazopatikana dunia ya kwanza .
  20. Lukub

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikaji
Back
Top Bottom