Huyu umenyoosha ,wakati city kapigwa chuma mbili na astonvilla mechi ya mwisho na ushindi ni lazima kunyanyua ndoo ,washabiki wangeondoka sijui ingekuwaje
Du haya mkuu msemaji wa ahly wenye makombe 11 ya africa ni nani?na msemaji wa Tp Mazembe wenye makombe 5 ya africa na shirikisho 2 ni nani ? Msemaji wa experence du tunis wenye makombe 4 ya africa ni nani? Tusipojifunza kwa hawa hatuwezi kufika walipo.
Ushabiki unakuondoa akili za kawaida kabisa team sio familia kuna mambo mengi ya kujiongezea kipato yafikirie ,sijajua watanzania tumerogwa au kitu gani ,nimeishi UK ni wendawazimu wa football lakini team ni team maisha ni maisha.Huku team na maisha ni sawasawa
Tunaongea kwa takwimu mpaka sasa KAI ana magoli 11 mashindano yote kwenye epl 9 , wakati Gabriel anayo 4 epl 3 ,ntaenda na KAI kama kocha wako tunaangalia mchezaji mfungaji sio muhangaikaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.