Sijui anachotaka. Ningeongea na mwenyewe Isha ningemuamBia achague kitu roho inapenda ila kwa huyo FRED ningemuamBia awe makini sana kwani akipata agemate wake atabwaga au ataanza fanyiwa visa,huyo baBa mtu mzima hivyo na alishazunguka na dunia kama ndo gumegume ndo maana mpaka sa hizo hajaoa...
Wapendwa za asubuhi,
Kuna mama mmoja ni rafiki yangu kaniomba mchango wangu,ana Binti yake. Tumpe jina (Isha)ambaye ni mwalimu wa sekondari huko mkoani katika pitapita zake wakatokea kupendana na mwalimu mwenzake FRED lakini wa shule tofauti,ila yule mwenzie Fred ni mdogo kuliko Isha miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.