hivi pale UDOM wale watoto wetu ci walitwaa vilaza lakini leo wale wanaonekana wana akili sana kuliko hawa ambao wanakurupuka kaltika mahamuzi,tetehe tutakula hasara mpaka watu watachanganyikiwa kama wale samaki kwa kweli
mabadiliko lowassa ,,lowassa mabadiliko kasi ya mabadiliko ni kubwa sasa hivi kuliko wakati wa uchaguzi mbaya zaidi mikutano ya ndani imezidi kuimarisha ukawa tupo pamoja Usiruidie kosa2020#*
hivi kwa kweli tuunge hoja kwa vipi wakti watanzania hawana chakula tetemeko limekuwa janga kwa wana bukoba vipi lugumi au sare za polisi mbona usem au milioni kumi za mboga zaidi ya kusema kuna makaburi mengine huwezi kufukua au ndio mnalazimisha tukubali wapinzani hawaitaji uku wa mkoa au cheo...
Barafu porojo nyingi hawa NAs unawajua au ndio umetekwa pili AFS UNAWAJUA AU NDIO STORY ZA VIJIWENI umeleta huku jamvini bora ungejua ukweli kuliko kuropoka hebu tuweke ukweli Allince mpaka NAS kabla hawajanza kazi watupe wahusika wa kuu wa hii kampuni kama inawezekana tuwende pamoja kuliko...
NAS ni nani kwa uhalisia je hao NAS wanaweza kutueleza walishawai kuwa na uzoefu wa kufanya shughuli za swissport tuwe walisisa au ,,,,,, kwa ajili.......ambao ndio wamiliki wa....... Wa kampuni hiyo mkuu arudi kwenye fomu ya madilili angalie mali za watu......kabla ya kuanza kuwataka kuwatoa...
habari njema NAS je kwanini asiweke wazi wenye share za hiyo kampuni kabla ya kwenda swissport ambayo ni kampuni inayouza shareDSE ivi kufuta lesseseni ni rahisi hivyo
mtwara ni tanzania tujitoe ufahamu,, kama hivi hakuna nchi duniani inatoa chakula wakati wa njaa kila mtu atabeba msalaba wake mwisho wa kunukuuu,,,,,,,,
ndio haya haya ya zika hakuna zika wakati ipo sasa ndugu unabisha nini kwenu mabasi ni mawili kwa wiki yanaenda kama bombadier kaskazini watu wananzaga mapema kwenda kusalimia sasa kampuni kama kilimanjaro kutoka mabasi saba hadi nane kwa siku leo hiii matatu au ndio maendeleo
kuna kitu kinaniumiza sana mtu anakuambia kusema ukweli ni kosa haiwezekani dr kasema ukweli na utafiti sio wa siku moja kama twawezaa wanavyofanya haya ni maisha ya watanzania mlipuko wowote wa magonjwa lazima wanachi wajue sio kukaa na kuanza kuficha wagonjwa ndani tuweni na busara tuweke...
hivi kwani zimetolewa bure tuwe wakweli ci wanaitaji wazamini kumi na mali isiyoamishika alafu nasikia elfu nane kwa siku ulipe ndani ya mwaka mmoja mbona inakuwa na riba au kwa maana mpya rahisi ukinunua cash nafikiri jana kampuni za pikipiki zilikuwa zinafanya maonyesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.