Tuendelee kuchunga kura hadi mwisho,tulianza na Mungu tumalize na Mungu. Ushindi ni baada ya kura kuhesabiwa na kujumlishwa. Tumkumbuke dicteta Stalin aliyesema'mpigakura hana kauli ya mwisho ila mhesabu kura'.Tulinde kura zetu, magamba ni wataalamu wa kuchachua!
Hata kama magamba mtakulanyasi, chopa itaendelea kuzungukia vituo,kama hamtaki u can go to hell! gharama za chopa ni vijisent tu! acheni uvivu wa kufikiri! wivu wa kike huu!
Hapo kwenye kichapo umenikumbusha mbali kweli! jamaa na bakora mama na muhogo mkononi! kwa minada yetu, naamini ile bakora ya che nkapa itanadiwa bei mbaya!
Kweli che Nkapa! Mzee wangu wa Lupaso a.k.a mzee wa macheni na mapete ya kijini, watanzania tu wavivu wa kufikiri na tuna wivu wa kike! tukipewa fursa hatuzitumii vema, heri yako uliyegeuza Ikulu pango la walanguzi! ukaunda ANBEN,ukajiuzia Kiwira, first naye akajiundia ka NGO,mwana nae boss Simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.