Kawaida ya taasisi au umoja inatakiwa isiwe milki ya mtu mmoja au kiongozi mmoja kutoka ktk safu ikajenga hofu ya maendeleo ni maajabu!
Sioni sababu ya watu kushadidia kuwa chama kimemeguka, ni maamuzi mazuri tunayapongeza kwa uongozi wa Taasisi imara isiyomtegemea mtu mmoja, endeleeni kuondoa...
Wana JF, ninaomba kuelimishwa kuhusu uwepo wa baraza KIVULI ktk bunge la Tanzania. Kila waziri husika ktk wizara fulani, hufuata hotuba/bajeti ya waziri kivuli na mipango yako. Hawa watu wana kazi gani? Nini maana, umuhimu na kazi ya bajeti ya kambi ya upinzani? Je, hutekelezwaje? Msaada tafadhali
Wana JF, naomba kuelimishwa umuhimu, kazi na maana ya hotuba za kambi rasmi ya upinzani. Kila baada ya waziri husika kusoma hotuba/bajeti ya wizara yake, waziri KIVULI naye husoma hotuba yake. Hawa watu wana kazi gani? Bajeti zao zina maana gani? Je hutekelezwaje? Naomba kuelimishwa hapo.
Omukazi kalichumba ebhitahile omanye aragaine no 'omugenda.
(Kinyambo hicho).
Tafsiri: Mwanamke akipika chakula kisiive jua ana miadi na mwanamme mwingine nje ya ndoa.
Ndg. CCM wako sawa kilichokuwa kikisemwa ni uchochezi. Maana ndogo tu, uchochezi ni kusema au kufanya jambo ama kutumia kauli fulani za kuibua hisia kali za wasikilizaji, mara zote uchochezi ni jambo baya! Sasa CCM hawatofautishi jambo hili baya na UKWELI ambao daima ni mzuri. Kwahiyo ukweli...
Ndugu mmoja alisema 'Watanzania ni wavivu' nikamuuliza 'katika nini?' Kumbe nimegundua sehemu mojawapo ni katika kujisomea! Mbona comments nyingi kabla ya kusoma? Nani kapitia riwaya hiyo?
Nitarudi nikimaliza kusoma.
Kwamba wanaume wanahitaji kuagana na wake zao kwa tendo la ndoa ndani ya masaa sita baada ya mke kufariki! imekaaje hii?
Mwanamke akihitaji haki hiyo itakuwaje?
Siasa huvuruga ufanisi wa mambo, walitangaza F.II kuna kurudia bila 30 sasa wamesema tusubiri mwaka mwingne, ukifika kutajitokeza jingne. Hapo lazima kuwa na wanafunzi vilaza wengi. Nawashukuru mlionikumbusha zamani tulipoweza kutaja nchi nyingi, viongozi wake, uchumi wake, masuala ya uhuru, n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.