heee heeee heee!hizi story babu yangu alinihadithia yalimkuta siku moja akajikuta ameshinda juu ya mwembe kutwa nzima! hivi ingerudishwa miaka hii ingekuwaje loh!
Heee heee heee,yani na wewe ndio unazidi kunivunja mbavu kabisaaaa,maana ile pozi ya kipedeshee ndio ikatoweka gafla na kubaki na sura ya mjamaa wa mwananyamala,hahaaaa haaaa!
Tehee teheee,na kweli bora tu alivyoamua kama noma na iwe noma na kulianzisha,yani majaribu kuvuta picha ya tukio najikuta nacheka bila kikomo,km ni kweli nampa pole.
Kama unampenda na anakupenda hutaona haya kumshauri vile anatakiwa kuwa,na kwavile anakupenda atakuelewa na kubadilia,mara nyingi malezi ya siku hizi ni mabovu,wamama hawana mda wa kukaana kutoa maelekezo kwa watoto badala yake wanawaachia wadada wa kazi na haya ndio matokeo yake,yy hajui kitu...
Asante mkuu,hapo anaongelea miaka miwili ni mda ambao unatosha watu kufahamiana,na anasema kila akiongea naye mwenzie anaona ni kitu cha kawaida tu means hajali,na katika mapenzi sidhani swala la makabila au eneo analotoka linaweza kumfanya mtu asiwe tayari kuwasiliana na mwenzie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.