swali moja je kwanini ulijiingiza vidole huko******* ni kwa sabu ulitamani kufanya hivyo au? na je ukiwa macho huwa unawaza uki***** na unafanyaje ukiwaza hivyo?
CCM kwa ushamba wao wanaipandisha chati CDM, kama kuna mtu alikuwa ana wasi wasi kuwa vyama vya CUF, TLP & NCCR- Mageuzi ni matawi ya CCM, sasa amepata uthibitisho
mzee bila kumung'unya maneno ALIMEGWA, mimi nilizaa na mwanamke lakini hatukuoana kila nikikutana kama nikitaka KUMMEGA ANANIKUBALIA hajawahi kuninyima, hiyo ni kweli kwa watu wote waliozaa pamoja wakijisikia kukumbushia huwa hawanyimani
mwache aende nccr vigezo tumevikubali, mapandikizi yote ya ccm yataondoka safari hii huku yakiimba wimbo waliofundishwa na kikwete wa udini mimi nasema waache waende chadema ni chama makini watabaki wananchama safi wenye mapenzi ya dhati ya kuwaokoa watanzania toka kwenye makucha ya ccm na sio...
wanasheria mnatakiwa mjibu hoja na sio kutukanan, na kama ni kweli nyie ni wanasheria mliomtukana huyu jamaa aliyeleta hoja yake napata wasi wasi kuhusu uanasheria wenu
Tunahitaji katiba mpya haraka sana ili Taifa hili la Tanzania liweze kuendelea, katiba hiyo mpya inahitaji kuwa na yafuatayo
1.tunahitaji katiba ambayo itazipatia Bunge, Mahakama na tume ya uchaguzi nguvu zaidi ili vyombo hivi vifanye kazi bila woga
2. watu watakao kuwa kwenye vyombo hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.