Kabla hawajaingia waseme watafanya nini katika hizo wizara. Siyo kuchaguana tu jamani. Let them come with their strategy/manifesto and if they fail to implement what they promised, waachie ngazi... Waziri anachaguliwa matatizo ya maji ndio yanaongezeka, umeme usiseme...Si afadhali wasiwepo???
Jamani hawa wachina ni hatari, kwa nini viongozi wetu hawaoni? Iweje washikwe na meno ya tembo tena kwenye meli za kijeshi? Hizo service zao ni danganya toto.. unampa pipi unachukua simu yako ya Sumsung S4 aliyoshika.
HIvi na wao wanavyodhalilisha tembo, mnaona sawa?? Wawataje na hao vigogo wanaoshirikiana nao...Baada ya kuona wanajulikana wahusika wote, wanageuza kibao na kushikilia bango la haki za binadamu. Pole saana Kagasheki....
Huyu nae....utatukanaje wenzako in the name of democracy??? Hapa hakuna umoja kabisaa. Mbona nilifikiri huyu kijana ana busara saana....Kiongozi mzuri ni yule aliye na uwezo wa kujega team ya anayoingoza hata kama kuna changamoto.
Kama ni kiongozi mzuri alipaswa kuyajadili hayo kwenye vikao halali, kwa nini kichinichini na kikundi cha watu? Huu ni unafiki mkubwa usiotakiwa kwa kiongozi yeyote....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.