Hata ikiwa kwenye zebra as long as ni mwendokasi na angalia huyu jamaa alikuwa anaendesha, amebeba abiria na tena Mshikaki, halafu basi iliyomgonga ni ile ndefu...
I bet to defer with you.
Mashinji hakuwa hata kiongozi wa mgomo kivile bali alikuwa kiongozi wa postgraduate ndio walitumia kigezo hicho kumfukuza chuo. Kiongozi Imara 2005 walikuwa Ulimboka na Kigwangwalla.
Pia ilikuwa utawala wa Mkapa na sio JK, ndio maana hata ile dec 2005, walimuomba...
Jibu ni simple wahusika wote wanachukuliwa hatua kali za kisheria.
Hawa jamaa hawana haja ya kulalamika sana waiombe serikali iwapatie kiasi chao halali kile kilichozidi wakikane basi.
Wana haki ya kufanya hivyo, nao wembe utakapokuja kuwanyoa watajua kama ni butu ama la
Walimuunga mkono 2013, ndugu. Walipeleka mpaka magari ya M4C, lakini pia na JPM alienda kumuunga mkono swahiba wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.