Dada Lara , Asante Kwa nice story , lakini kuna maswali mengi sana ktk hii story Bado hayajajibiwa, ambayo ukikaa ukatulia Basi unaweza tengeneza episodes hata 5 Za muendelezo !!!
Swali Na:1, nini hatima ya Liston hasa ukizingatia zabibu ana nyota ya bahati mbaya ya kuua wanaume!!! Ningependa...
Kama unatafuta gari ambayo , haili sana mafuta, ina Mwendo , Na ipo stable barabarani hata ukiwa speed 170km/h .
Basi tafuta TOYOTA CAMRY SV 40.
Hii ktk safar ndefu utaipenda , HAPA MJINI WANAZIITA "aliendesha babu hata mjukuu analitumia"
Engine yake Ni 3s/4s , body nzito , Spea cheap ...
Mimi...
Hili gazeti la Jamhuri kumbe ni la hovyo hivi???
Linachafua watendaji wema , Kwa manufaa ya wachache.
Mbona lilikaa kimya kashfa ya Januari Makamba Na mzungu wa dadake????
NASHAURI SERIKALI IWE MAKINI NA WIZARA YA AFYA , INAWEZEKANA IKAWA NI WIZARA INAYOONGOZA KWA MAJUNGU AFRIKA MASHARIKI ...
1.Kujenga flyover 4 dar Es salaam ,
2.Uwanja wa ndege wa kimataifa dodoma !!!
3.Umeme wa upepo singida
4.Kunyang'anya ardhi zisizoendelezwa
5. Kuboresha maslahi ya watumishi wa serikali !!!!
6.Kulinda muungano na mwenge !!!
Loading............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.