toka jumamosi pale ccm mkoa wa arusha wanagawa t-shirts kofia na mavuvuzela kwa wale watoto wa mitaani wanaolala pale uwanja wa stadium.....Monabani hawezi shinda Arusha mjini hata cku moja.....hata kama Lema atajitoa leo...
Najaribu kutafakari na kujiuliza kama haya yanayoendelea hapa ni sahihi...... Naomba mwenye uelewa mzuri wa haya mambo anieleweshe........ Otherwise naumia sana kuona mambo yanavyoenda kwa sasa.
hapana hapana....hyo kitu haiwezekani kabisaaaaaaaaa hata ashuke Yesu....haitakaa itokee.... matokeo ya 4:0 hawajamaliza kuuguza kidonda.....leo tena wajigeuzie kibla wenyewe.....haiwezekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.