Yani hamna umuhimu wakutoa tetesi zozote hapa Jf maana kila m2 wa hapa ni anatoa kichwani kwake kwa ku gesi 2! Na bwana matumbo czani kama ni mtu wa kumuamini kilichopo nikusubiria 2! Na watu humu mctoe k2 bila uchunguzi zaidi! Tokeo lita toka 2 hyo ni lazma so 2subirieni 2!
Bwana Mponda najua hyo report ujaandika wewe umeandikiwa sasa kama umeandikiwa hakikisha uwe unaisoma kabla ya kuja kuonekana vbaya mbele ya kadamnasi wa2 wana danja ww upo unasafisha jina lako stupid hotuba! Jipange mbaba!
Jamani nini sababu ya matokeo haya kucheleweshwa! Maana watu hawaishi vizuri bali nikupata presha juu ya watoto wao na wanafunzi wenyewe! Mwenye lakusema aniambie ni lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.