Maua Sama ana pure talent..nahisi management yake inamuangusha.. Kwa kipaji chake,huyu nandy hata nusu yake hafikii na hapo hatujaona peak yake bado..just imagine
Per diem kwa ndani ya wilaya,ndani ya mkoa na nje ya mkoa ina viwango tofauti. Hapo wangefuata utaratibu kungekua na tofauti ya malipo kutokana na mahali unapotoka mfano wa Iringa mjini asingelipwa sawa na wa Iringa vijijini au Mkoa mwengine wa Njombe..Hapo labda walalamikie hela waliyokatwa...
ila haukua utaratibu mzuri zile documents mtu ana-download anakaa nazo kwenye simu au PC. Kama wanabadilisha tangazo wangeweka statement kwamba wamebadili ili kila mtu apate kujua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.